Andy Murray ashinda kombe la ATP ka kumshinda Novak Djokovic
Akiongeza kuwa ni nafasi ya kipekee sana kushindana na Novak katika mashindano kama haya.
Murray, mwenye miaka 29, amekuwa mchezaji bora katika mashindano 24.
Mashindano hayo pia yalimalizika kwa ushindi wa miaka minne wa Djokovic katika kinyan’ganyiro na Msebia huyo huku akimkaribia Roger Federer’s.
Murray aliyeshinda vikombe 34 kwa mara kumi ameongeza ” kabla ya hapa tumekuwa tukichuana katika fainali mbalimbali na katika Olimpiki lakini ninayo furaha kubwa kuwa mshindi.
Comments
Post a Comment