Guardiola amemtaja staa wa Man City atakayekuwa nje ya uwanja kwa wiki 6



Image result for pep guardiolaKuelekea mchezo wa Ligi Kuu England kati ya Man City dhidi ya Burnley utakaochezwa kesho November 26 2016, kocha wa Man City Pep Guardiola ameweka wazi taarifa za wachezaji wake wanaoripotiwa kuwa majeruhi.
Guardiola ameweka wazi kuhusu wachezaji wake Sergio Aguero, Zabaleta na beki  wake wa kati na nahodha wao Vincent KompanyGuardiola ameweka wazi kuwa Kompany ambaye aliumia goti katika mchezo dhidi ya Crystal Palace uliomalizika kwa ushindi wa 2-1, atakuwa nje kwa wiki nne hadi sita.

Comments

Popular Posts