Tekno Miles amesaini deal na Sony Music

Pia Tekno alikuwa miongoni mwa wasanii kutokea Nigeria walioperform kwenye tamasha la Fiesta, November 5 2016 jijini Dar es Salaam akiwa na Yemi Alade , Unaweza kuitazama video nimekuwekea hapa chini wakati Tekno anasaini mkataba huo.
Comments
Post a Comment