Rihanna aungana na Prince Harry wa Uingereza kwenye sherehe za uhuru

Prince Harry, Rihanna and prime minister Freundel Stuart at the concert in BridgetownJumatano hii muimbaji wa Marekani, Rihanna amekutana na Prince Harry wa Uingereza kwenye sherehe za uhuru wa miaka 50 ya Barbados.
Wawili hao walikutana mara mbili kwenye sherehe hiyo na kufanikiwa kukaa pamoja huku watu zaidi ya 20,000 walihudhuria kwenye sherehe hiyo.

Comments

Popular Posts